Matukio

Fuatilia matukio yajayo hapa kanisani.
Comments Box SVG iconsUsed for the like, share, comment, and reaction icons

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 23/6/2025

SOMO: NENO LA MAARIFA

Kutoka 31:3-4 "nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina, ili abuni kazi za ustadi, kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba"

Neno la Maarifa litakupa nini katika maisha yako?
● Hukuwezesha kufahamu kinachoendelea Duniani na jinsi ya kufanya kazi ili upate Mali.
● Hukusaidia kuwa Mvumbuzi na Mbunifu ili ufanye mambo yenye ubora na yatakayokuwezesha kufanikiwa.
● Utapanda daraja na kuwa Mtu Mkuu kwa sababu ni Mtendaji mzuri.
● Litakupa kujitegemea kwa kuwa kile unachokifanya kitakupa fedha na hautakuwa maskini wala omba omba. Hali hii itakufanya usiwe mkia bali utakuwa Kichwa wakati wote. Ukiwa mvivu hauwezi kumiliki kitu kwa sababu uvivu hukaa akilini na haikuwezeshi kuwaza mambo makubwa.

Kila wakati omba Roho wa Maarifa afungue macho yako ili ujue chakufanya na kuwa kama Mungu alivyokukusudia. Ukijifunza na kutafakari Biblia na mafundisho unayofundishwa itakufanya uendelee mbele lakini usipofanya hivyo utarudi nyuma.

TANGAZO
Nakuamuru uwe na Maarifa ili uweze kupata Mali; kwa Jina la Yesu.
... See MoreSee Less

22 CommentsComment on Facebook

Amina

Amen

Amen

Load More

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Kanisa la Efatha

Tarehe 23/6/2025

SOMO: NENO LA MAARIFA

Kutoka 31:3-4 nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina, ili abuni kazi za ustadi, kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba

Neno la Maarifa litakupa nini katika maisha yako?
● Hukuwezesha kufahamu kinachoendelea Duniani na jinsi ya kufanya kazi ili upate Mali. 
● Hukusaidia kuwa Mvumbuzi na Mbunifu ili ufanye mambo yenye ubora na yatakayokuwezesha kufanikiwa. 
● Utapanda daraja na kuwa Mtu Mkuu kwa sababu ni Mtendaji mzuri. 
● Litakupa kujitegemea kwa kuwa kile unachokifanya kitakupa fedha na hautakuwa maskini wala omba omba. Hali hii itakufanya usiwe mkia bali utakuwa Kichwa wakati wote. Ukiwa mvivu hauwezi kumiliki kitu kwa sababu uvivu hukaa akilini na haikuwezeshi kuwaza mambo makubwa.

Kila wakati omba Roho wa Maarifa afungue macho yako ili ujue chakufanya na kuwa kama Mungu alivyokukusudia. Ukijifunza na kutafakari Biblia na mafundisho unayofundishwa itakufanya uendelee mbele lakini usipofanya hivyo utarudi nyuma.

TANGAZO
Nakuamuru uwe na Maarifa ili uweze kupata Mali; kwa Jina la Yesu.

NUKUU:

Tunashinda nguvu za giza katika ulimwengu wa roho kwa nguvu na uwezo wa Mungu.

Josephat E. Mwingira
Josephat Elias Mwingira

Kama kile unachokifanya hakiwezi kukusaidia, basi elewa kuwa ni bure kwa sababu hakiwezi kumsaidia mtu mwingine pia.

Josephat E. Mwingira
Josephat

Oa mtu unayempenda, na anayekupenda, ili hata dhoruba ikitokea katika maisha yenu, mtaweza kusimama pamoja.

Mama Eliakunda Mwingira
Mama Eliakunda Mwingira