Mahubiri Ka Kuvuka Mwaka Mpya – 31/12/2025
KANISA LA EFATHAMTUME NA NABII: JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA Jiangalie mwenyewe: je, kweli unastahili kuwa hapa leo? Je, wewe ni bora
There are no upcoming events at this time
Karibu Efatha Church, kanisa lenye uhai la kitume na kinabii lililoanzishwa mwaka 1996 na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira. Likijengwa juu ya nguvu za Mungu, Efatha mahali sahihi kwa ibada, uponyaji, kufunguliwa vifungo, na kubadilisha maisha kupitia Neno la Mungu, likiwaandaa waamini kwa ajili ya unyakuo. Likianzia huko Moshi, kanisa limekua na kusambaa kote Tanzania na nje ya mipaka, likigusa jamii kwa ujumbe wa wokovu na kuwekwa uhuru. Kanisa la Efatha linaendelea kuwa mahali ambapo waamini wanakutana na uwepo wa Mungu, wanashuhudia miujiza, na kupewa nguvu za kuishi maisha ya ushindi dhidi ya dhambi.

NENO LA KILA SIKU
KANISA LA EFATHAMTUME NA NABII: JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA Jiangalie mwenyewe: je, kweli unastahili kuwa hapa leo? Je, wewe ni bora
Mhubiri: Mtume Na Nabii Josephat Elias Mwingira Hapa duniani kuna Team mbili; team ya Bwana Yesu na ya ibilisi na

CONFESSION OF THE DAY.
I BLESS MY TUESDAY.
The Love of the LORD surrounds us. Peace will reign in My Household. Our lives will Flourish. My Family and I are Blessed by the LORD.
Thank You, LORD of Lords.
JESUS is Good.
… See MoreSee Less
17 CommentsComment on Facebook

اعتراف اليوم.
أبارك يوم الثلاثاء.
محبة الرب تحيط بنا. سيسود السلام في بيتي. ستزدهر حياتنا. أنا وعائلتي مباركون من الرب.
شكرًا لك يا رب الأرباب.
يسوع صالح.
… See MoreSee Less
0 CommentsComment on Facebook