USHUHUDA Naitwa Phidesia Mwakitalima, namshukuru Mungu sana siku ya Jumatano tarehe nne mwezi huu wa kumi, Katika Kusanyiko
Nimepona miguu toka utotoni ilikuwa inavimba na kuuma sana
Naitwa Hapiness Shedrak napenda kumshukuru sana Mungu kwa kunikomboa kutoka katika kifungo cha magonjwa, tangu nilipokuwa mdogo niliugua
Nilikuwa ICU, Nimepona kwa neno Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.
Naitwa Leopadia George, namshukuru Mungu kwa matendo makuu anayofanya, nilifanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi, baada ya siku chache
Baada ya kuokoka Mungu ametusaidia mimi na mdogo wangu tumerudi shule.
Naitwa Peter Christopher napenda kumshukuru sana Mungu kwa matendo yake makuu katika maisha yangu na kwa familia yangu
Baada ya kuokoka hapa Efatha tatizo la kutoka damu mfululizo limeisha
Naitwa Monica Ambros, nilipata tatizo la kutokwa na damu mfululizo baada ya kujifungua kwa operation, damu ilikuwa nyingi
Mungu amewaokoa wazazi wangu walikuwa wanaamini sana ushirikina
Naitwa Patrick namshukuru Mungu kwa kuwaokoa wazazi wangu ambao walikuwa wanaamini sana nguvu za giza. Pia namshukuru sana
Apata haki yake baada ya kuuziwa shamba lenye mgogoro
USHUHUDA Naitwa Optatus Octavian, nilikuwa na mgogoro baada ya kununua shamba lenye ekari sabini (70) na shamba hilo
Mtoto wangu afunguliwa kutoka roho za kichawi
Naitwa Glory namshukuru sana Mungu wa Efatha kwa ajili ya mtoto wangu anaitwa Neema ambaye alikuwa akitumikishwa kwenye