2024
Mwaka wa kumiliki
KUHUSU KANISA LA EFATHA
Nimepewa jukumu la kunaliandaa kanisa tayari kwa unyakuo.
Efatha maana yake FUNGUKA Marko 7:34. Kanisa la waabuduo karibu, mahali Yesu mtenda maajabu yupo kazini.
Mimi niliye Mtume na Nabii katika Bwana nakukaribisha sana katika makanisa yetu yaliyopo nchi nzima. Yesu atakufungua, atakuponya na atakubariki.
Torati 1:21 “Tazama, Bwana, Mungu wako, ameiweka nchi mbele yako; haya panda, itamalaki, kama Bwana, Mungu wa baba zako, alivyokuambia; usiogope wala usifadhaike.”
Mtume Na Nabii: Josephat Elias Mwingira
KUTOKA KUSANYIKO 2023 NA
Mahubiri ya Jumapili
- Sermon By: Josephat Elias Mwingira
- Categories: Masomo ya jumapili
TAFAKALI SANA HAYA MWAKA HUU WA KUMILIKI Huu ni mwaka wetu wa kumiliki, tunapozungumzia kumiliki ina maana kuwa eneo lako,
- Sermon By: Professor Emmanuel Chao - Katibu Mkuu
- Categories: Masomo ya jumapili
SOMO: KUPOKEA AHADI 1. Hatua ya kwanza kwa Ibrahimu ilikuwa ni kupokea mwana, Ibrahimu alifanya nini wakati alipokuwa anasubiri Baraka
- Sermon By: Professor Emmanuel Chao - Katibu Mkuu
- Categories: Masomo ya jumapili
SOMO: SAFARI YA UMILIKI Mwanzo 12:1-3 “BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya
Wasiliana Nasi
Efatha Mwenge Dar es salaam.
+255 713248998
efathahq@efathachurch.org
Wasiliana Nasi
Efatha Mwenge Dar es salaam.
+255 713248998
efathahq@efathachurch.org
WASILIANA NA
Wachungaji mikoani na nje ya nchi
Kanisa la Efatha lina makanisa na vituo vya Ibada nchi nzima na nje ya nchi. Kwa msaada wasiliana na Wachungaji wetu, hakika utamuona Mungu.