KWELI ILIYO MOYONI MWAKO.

KWELI ILIYO MOYONI MWAKO.

SOMO: Zaburi 51:6 “Tazama wapendezwa na kweli iliyo moyoni nawe utanijulisha hekima kwa siri”. Hakuna kitu kibaya kama Moyoni mwako ukawa unahukumiwa na dhambi au tabia fulani ambayo Moyo wako unajua kabisa kuwa unayo, lakini wewe...

More info

SHUHUDA

SHUHUDA

Anaitwa Anjela Anthony, anamshukuru Mungu kwa matendo makuu aliyomtendea, mwaka 2016 Anjela alipata neema ya kununua kiwanja na kujenga nyumba yenye vyumba vinne(4) na baada ya hapo alipokuwa kanisani mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii alimpa...

More info

KUPOKEA ROHO MTAKATIFU

KUPOKEA ROHO MTAKATIFU

Na, Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira- Kanisa la Efatha Matendo ya Mitume 2:38 “Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.” Kipawa...

More info

MWAKA WA KUMILIKI

MWAKA WA KUMILIKI

Mwaka wa kumiliki ni wa msingi sana katika maisha yako, kwa sababu ukiwa na kitu cha kumiliki utambulisho wako pia unakuwa mkuu. Kama hauna chochote cha kumiliki hata utambulisho wako unakuwa mdogo sana, hivyo namna unavyomiliki ndivyo unavyokuwa...

More info